Instagram Logo

cloudstv

Clouds TV 🇹🇿

Clouds TV Official Instagram Account.
Follow us;
Twitter @cloudsmedialive
Facebook @cloudsfmradio
Tunakufungulia Dunia Kuwa Unachotaka

90.9K
posts
88
followers
6.1M
following

Clouds Media Group inamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kufanikisha hafla ya kwanza ya utoaji wa Tuzo za Malkia wa Nguvu 2026 jijini Dodoma.

Tunatoa shukrani za dhati kwa Serikali ya Tanzania kupitia Makamu wa Rais Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, washirika wa kibiashara, washindi pamoja na wananchi wote kwa ushirikiano wao mkubwa.

Kupitia jukwaa la Malkia wa Nguvu, Clouds Media Group itaendelea kuunga mkono juhudi za kuwawezesha wanawake nchini katika nyanja mbalimbali, kupanua wigo wa fikra na kuchochea mchango wao katika kukuza uchumi wa Taifa.

Dhamira yetu ni kuendelea kuthamini na kutambua wanawake wenye jitihada za kipekee katika biashara, ajira na jamii, wanaochangia mabadiliko chanya na maendeleo endelevu katika Taifa letu.

Jukwaa hili litaendelea kufika katika kanda zote nchini ili kuhakikisha wanawake wapambanaji wanatambuliwa, wanathaminiwa na kujengewa uwezo wa kuinuka zaidi kiuchumi na kijamii.

Kupitia fursa hii, wanawake watapata maarifa, msukumo na nafasi ya kujijenga katika fikra chanya kwa lengo la kufikia mafanikio makubwa zaidi.

MALKIA WA NGUVU 2026:
KOLEZA LEVELS.


276
31
3 weeks ago


Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara Clouds Media Group madam Sheba Kusaga leo rasmi amebariki uzinduzi wa jukwaa kubwa ndani ya Clouds Media Malkia wa Nguvu ambalo huanza mwezi March kila mwaka.

“Katika msimu huu tunapoelekea kwenye uzinduzi wa Malkia wa Nguvu, Ofa zitakuwa nyingi na naamini kila tutakapoenda katika msimu huu Clouds itaendelea kuwa na mchango wa kuwezesha wanawake kutambulika, kutumia platform zetu katika kupeleka bidhaa zao duniani na ninaamini mwaka huu tutakuwa na mambo mengi sana”

Malkia wa nguvu mwaka huu tunasheherekea miaka 10 ya kuleta mabadiliko na kumuinua mwanamke katika nyanja mbalimbali aweze ku-nyoosha.


1.8K
59
2 months ago

Mbunge wa Jimbo la Kawe, Timoth Geofrey Anyosisye, amesema amefurahishwa na waziri wa ujenzi Abdallah Ulega alivyoanisha maombi ya kujengewa flyover Mwenge na Morocco pamoja na maombi ya kuongezewa upana wa barabara ya Mwai Kibaki nayo yamekubaliwa.

Timoth, amesema changamoto ya Jiji la Dar es Salaam ni miundombinu ya barabara pamoja na foleni za barabarani hivyo amekuwa akiomba kujengewa barabara, madaraja pamoja na flyover hivyo kwa usikivu wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan baadhi ya maombi cake yameaanza kulipa.

Ameongeza kuwa wana Kawe waliomba kujengewa flyover kwenye makutano ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi pamoja na barabara ya Kinondoni lakini pia waliomba kujengewa flyover kwenye makutano ya barabara eneo la Morocco na pia waliomba kujengewa flyover kwenye makutano ya barabara ya Rainbow “Leo nimefurahi kumsikia waziri kuwa maombi yetu ya kujengewa flyover eneo la Morocco yamekubaliwa.” Ameyasema hayo Mbunge wa Jimbo la Kawe, Timoth Geofrey Anyosisye, akiwa anachangia hotuba ya bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Bungeni Jijini Dodoma.

Endelea kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii @cloudsfmtz @cloudstv pamoja na akaunti yetu ya Youtube “Clouds Media”.

#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates


40
9
1 hours ago

Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, amesema wananchi wa mkoa wa Lindi, Mtwara pamoja na mikoa ya Kusini ambao wanaotumia barabara ya Dar es salaam, Kibiti, Lindi na Mtwara wamemtuma kuja kufuatlia na kuangalia bajeti ya wizara ya ujenzi “Wameniagiza nispoona fedha zilizotengwa kwa ajili ya ujenzi wa barabara hii nisiunge mono bajeti hii niipinge.”

Ameongeza kuwa barabara hiyo inayounganisha mikoa ni mbovu kuliko barabara yoyote katika nchi na muda wake wa kutumika ulishaisha na imezibwa zibwa mpaka haiwezekani kuzibwa tena, lakini ndiko kwenye mchango wa uchumi wa pato la taifa kupitia zao la korosho “Mimi nikiunga mkono bajeti hii nitakuwa nawasaliti wananchi wa kusini, nitakuwa nasaliti ilani ya uchaguzi wa chama changu kwa hiyo natanga wazi kabisa siungi mono bajeti hii mpaka fedha itengwe kwenye hii barabara.” Ameyesema hayo leo Mei 20.2026 Bungeni Jijini Dodoma alipokuwa anachangia bajeti ya wizara ya ya ujenzi kwa mwaka wa fedha 2026/27.

Endelea kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii @cloudsfmtz @cloudstv pamoja na akaunti yetu ya Youtube “Clouds Media”.

#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates


30
3
1 hours ago

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kuwait nchini Tanzania, Salem Yousif Alhamdan, katika kikao kifupi kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.

Katika kikao hicho, viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kidiplomasia na kuahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wa kihistoria kati ya Tanzania na Kuwait kwa manufaa ya pande zote mbili, hususan katika sekta za uchumi, zikiwemo biashara, uwekezaji, miundombinu, afya, kilimo na maji.

Mhe. Kombo amempongeza Mheshimiwa Alhamdan kwa uteuzi wake na amemuhakikishia ushirikiano wakati wote atakapokuwa anahudumu hapa nchini.

Naye Mhe. Alhamdan, ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano uliopo na kuahidi kuendeleza ushirikiano huo kupitia maeneo ya kipaumbele kwa manufaa ya wananchi wa pande zote.

#CloudsDigitalUpdates


19
2
1 hours ago

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kuwait nchini Tanzania, Salem Yousif Alhamdan, katika kikao kifupi kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.

Katika kikao hicho, viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kidiplomasia na kuahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wa kihistoria kati ya Tanzania na Kuwait kwa manufaa ya pande zote mbili, hususan katika sekta za uchumi, zikiwemo biashara, uwekezaji, miundombinu, afya, kilimo na maji.

Mhe. Kombo amempongeza Mheshimiwa Alhamdan kwa uteuzi wake na amemuhakikishia ushirikiano wakati wote atakapokuwa anahudumu hapa nchini.

Naye Mhe. Alhamdan, ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano uliopo na kuahidi kuendeleza ushirikiano huo kupitia maeneo ya kipaumbele kwa manufaa ya wananchi wa pande zote.

#CloudsDigitalUpdates


19
2
1 hours ago

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kuwait nchini Tanzania, Salem Yousif Alhamdan, katika kikao kifupi kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.

Katika kikao hicho, viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kidiplomasia na kuahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wa kihistoria kati ya Tanzania na Kuwait kwa manufaa ya pande zote mbili, hususan katika sekta za uchumi, zikiwemo biashara, uwekezaji, miundombinu, afya, kilimo na maji.

Mhe. Kombo amempongeza Mheshimiwa Alhamdan kwa uteuzi wake na amemuhakikishia ushirikiano wakati wote atakapokuwa anahudumu hapa nchini.

Naye Mhe. Alhamdan, ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano uliopo na kuahidi kuendeleza ushirikiano huo kupitia maeneo ya kipaumbele kwa manufaa ya wananchi wa pande zote.

#CloudsDigitalUpdates


19
2
1 hours ago

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kuwait nchini Tanzania, Salem Yousif Alhamdan, katika kikao kifupi kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.

Katika kikao hicho, viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kidiplomasia na kuahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wa kihistoria kati ya Tanzania na Kuwait kwa manufaa ya pande zote mbili, hususan katika sekta za uchumi, zikiwemo biashara, uwekezaji, miundombinu, afya, kilimo na maji.

Mhe. Kombo amempongeza Mheshimiwa Alhamdan kwa uteuzi wake na amemuhakikishia ushirikiano wakati wote atakapokuwa anahudumu hapa nchini.

Naye Mhe. Alhamdan, ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano uliopo na kuahidi kuendeleza ushirikiano huo kupitia maeneo ya kipaumbele kwa manufaa ya wananchi wa pande zote.

#CloudsDigitalUpdates


19
2
1 hours ago


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kuwait nchini Tanzania, Salem Yousif Alhamdan, katika kikao kifupi kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.

Katika kikao hicho, viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kidiplomasia na kuahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wa kihistoria kati ya Tanzania na Kuwait kwa manufaa ya pande zote mbili, hususan katika sekta za uchumi, zikiwemo biashara, uwekezaji, miundombinu, afya, kilimo na maji.

Mhe. Kombo amempongeza Mheshimiwa Alhamdan kwa uteuzi wake na amemuhakikishia ushirikiano wakati wote atakapokuwa anahudumu hapa nchini.

Naye Mhe. Alhamdan, ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano uliopo na kuahidi kuendeleza ushirikiano huo kupitia maeneo ya kipaumbele kwa manufaa ya wananchi wa pande zote.

#CloudsDigitalUpdates


19
2
1 hours ago

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kuwait nchini Tanzania, Salem Yousif Alhamdan, katika kikao kifupi kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.

Katika kikao hicho, viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kidiplomasia na kuahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wa kihistoria kati ya Tanzania na Kuwait kwa manufaa ya pande zote mbili, hususan katika sekta za uchumi, zikiwemo biashara, uwekezaji, miundombinu, afya, kilimo na maji.

Mhe. Kombo amempongeza Mheshimiwa Alhamdan kwa uteuzi wake na amemuhakikishia ushirikiano wakati wote atakapokuwa anahudumu hapa nchini.

Naye Mhe. Alhamdan, ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano uliopo na kuahidi kuendeleza ushirikiano huo kupitia maeneo ya kipaumbele kwa manufaa ya wananchi wa pande zote.

#CloudsDigitalUpdates


19
2
1 hours ago

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kuwait nchini Tanzania, Salem Yousif Alhamdan, katika kikao kifupi kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.

Katika kikao hicho, viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kidiplomasia na kuahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wa kihistoria kati ya Tanzania na Kuwait kwa manufaa ya pande zote mbili, hususan katika sekta za uchumi, zikiwemo biashara, uwekezaji, miundombinu, afya, kilimo na maji.

Mhe. Kombo amempongeza Mheshimiwa Alhamdan kwa uteuzi wake na amemuhakikishia ushirikiano wakati wote atakapokuwa anahudumu hapa nchini.

Naye Mhe. Alhamdan, ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano uliopo na kuahidi kuendeleza ushirikiano huo kupitia maeneo ya kipaumbele kwa manufaa ya wananchi wa pande zote.

#CloudsDigitalUpdates


19
2
1 hours ago

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kuwait nchini Tanzania, Salem Yousif Alhamdan, katika kikao kifupi kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.

Katika kikao hicho, viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kidiplomasia na kuahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wa kihistoria kati ya Tanzania na Kuwait kwa manufaa ya pande zote mbili, hususan katika sekta za uchumi, zikiwemo biashara, uwekezaji, miundombinu, afya, kilimo na maji.

Mhe. Kombo amempongeza Mheshimiwa Alhamdan kwa uteuzi wake na amemuhakikishia ushirikiano wakati wote atakapokuwa anahudumu hapa nchini.

Naye Mhe. Alhamdan, ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano uliopo na kuahidi kuendeleza ushirikiano huo kupitia maeneo ya kipaumbele kwa manufaa ya wananchi wa pande zote.

#CloudsDigitalUpdates


19
2
1 hours ago

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kuwait nchini Tanzania, Salem Yousif Alhamdan, katika kikao kifupi kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.

Katika kikao hicho, viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kidiplomasia na kuahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wa kihistoria kati ya Tanzania na Kuwait kwa manufaa ya pande zote mbili, hususan katika sekta za uchumi, zikiwemo biashara, uwekezaji, miundombinu, afya, kilimo na maji.

Mhe. Kombo amempongeza Mheshimiwa Alhamdan kwa uteuzi wake na amemuhakikishia ushirikiano wakati wote atakapokuwa anahudumu hapa nchini.

Naye Mhe. Alhamdan, ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano uliopo na kuahidi kuendeleza ushirikiano huo kupitia maeneo ya kipaumbele kwa manufaa ya wananchi wa pande zote.

#CloudsDigitalUpdates


19
2
1 hours ago

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kuwait nchini Tanzania, Salem Yousif Alhamdan, katika kikao kifupi kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.

Katika kikao hicho, viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kidiplomasia na kuahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wa kihistoria kati ya Tanzania na Kuwait kwa manufaa ya pande zote mbili, hususan katika sekta za uchumi, zikiwemo biashara, uwekezaji, miundombinu, afya, kilimo na maji.

Mhe. Kombo amempongeza Mheshimiwa Alhamdan kwa uteuzi wake na amemuhakikishia ushirikiano wakati wote atakapokuwa anahudumu hapa nchini.

Naye Mhe. Alhamdan, ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano uliopo na kuahidi kuendeleza ushirikiano huo kupitia maeneo ya kipaumbele kwa manufaa ya wananchi wa pande zote.

#CloudsDigitalUpdates


19
2
1 hours ago

"Hauwezi ukawa bingwa wa matusi na ukabaki salama"- Patrobas Katambi (@patrobasskatambi_) , Waziri wa Mambo ya Ndani.

#SentroYaCloudstv


265
76
1 hours ago


Ayoub Mohammed Mahmoud (@ayoubmahmoud_), Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi amewasisitizia vijana kulinda amani na utulivu wa nchi.

#SentroYaCloudstv


28
10
2 hours ago

Kesho asubuhi tunazindua rasmi Mgahawa wa Power Breakfast × Clouds 360,

Umealikwa..??


19
2
2 hours ago

Kesho asubuhi tunazindua rasmi Mgahawa wa Power Breakfast × Clouds 360,

Umealikwa..??


22
1
2 hours ago

Kesho asubuhi tunazindua rasmi Mgahawa wa Power Breakfast × Clouds 360,

Umealikwa..??


29
3
2 hours ago

David George, kutoka Mwanza akitoa ushauri kwa vijana kuhusu kulinda amani

#SentroYaCloudstv


23
3
2 hours ago

Ajira zaidi ya 1,500 za moja kwa moja pamoja na takribani ajira 17,000 zisizo za moja kwa moja zimeendelea kuzalishwa kupitia uwekezaji wa kiwanda cha SBC Tanzania, huku kampuni hiyo ikichangia takribani Shilingi bilioni 150 kupitia kodi za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amesema Serikali itaendelea kujizatiti kuhakikisha uwepo wa mazingira wezeshi kwa wawekezaji kupitia maboresho ya sera, maendeleo ya miundombinu pamoja na ushirikiano endelevu na sekta binafsi kwa lengo la kuongeza uwekezaji, ajira na ukuaji wa uchumi.

Akizungumza Mei 20, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa upanuzi wa kiwanda cha kutengeneza vinywaji baridi cha SBC Tanzania, Waziri Kapinga amesema uwekezaji huo unaendana na dira ya Serikali ya kujenga uchumi wenye ushindani, unaozalisha ajira, kuongeza thamani ya bidhaa na kuchochea ukuaji endelevu wa uchumi.

#CloudsDigitalUpdates


3
3
2 hours ago


Story Save - Hikayeleri, Reels, Fotoğrafları, Videoları, Öne Çıkanları, IGTV'yi telefonunuza kaydetmek için en iyi ücretsiz araç.

Story-save.com, kullanıcıların Instagram'dan hikayeler, fotoğraflar, videolar ve IGTV materyalleri dahil olmak üzere çeşitli içerikleri indirmelerini ve kaydetmelerini sağlayan sezgisel bir çevrimiçi araçtır. Story-Save ile Instagram'dan çeşitli içerikleri kolayca indirebilir ve bunları internet bağlantısı olmasa bile istediğiniz zaman izleyebilirsiniz. Bu araç, Instagram'da ilginç bir şey gördüğünüzde kaydedip daha sonra izlemek için mükemmeldir. Story-Save'i kullanarak favori Instagram anlarınızı yanınıza almayı kaçırmayın!

Avantajlarımız:

Kayıt Olmaya Gerek Yok

Uygulama indirmelerinden ve kayıtlardan kaçının, hikayeleri web üzerinde saklayın.

Özel Yüksek Kalite

Kalitesiz içeriklere elveda deyin, yalnızca yüksek çözünürlüklü hikayeleri saklayın.

Her Cihazda Erişilebilir

Instagram Hikayelerini herhangi bir tarayıcı, iPhone veya Android ile indirin.

Tamamen Ücretsiz

Kesinlikle hiçbir ücret yok. Herhangi bir Hikayeyi ücretsiz indirin.

Sıkça Sorulan Sorular

Instagram Hikaye İndirme Özelliği, Instagram hikayelerini güvenli ve yüksek kaliteli bir şekilde indirmenizi sağlayan bir araçtır. Kullanıcı dostudur ve kullanıcıların kayıt olmasına veya üye olmasına gerek yoktur. Sadece bağlantıyı kopyalayın, yapıştırın ve içeriği keyifle izleyin.
Instagram hikayelerini indirmek basit bir işlemdir ve üç adımdan oluşur:
  • 1. Instagram Hikaye İndirici aracına gidin.
  • 2. Ardından, Instagram profilinin kullanıcı adını verilen alana yazın ve İndir butonuna tıklayın.
  • 3. Şu anki 24 saatlik süre için mevcut olan tüm Hikayeleri göreceksiniz. İstediğiniz hikayeleri seçin ve İndir'e tıklayın.
Seçilen hikaye hızla cihazınızın yerel depolama alanına kaydedilecektir.
Maalesef, gizli hesaplardan hikaye indirmek gizlilik kısıtlamaları nedeniyle mümkün değildir.
Instagram hikaye indirme hizmetini kullanma sayısında herhangi bir sınırlama yoktur. Hizmet sınırsız kullanımda olup tamamen ücretsizdir.
Evet, başkalarının Instagram Hikayelerini indirmek ve kaydetmek yasaldır, ancak ticari amaçlar için kullanılmamalıdır. Ticari amaçla kullanmayı düşünüyorsanız, orijinal içerik sahibinden izin almalı ve her kullanıldığında onlara atıfta bulunmalısınız.
Tüm indirilen hikayeler genellikle bilgisayarınızın İndirilenler klasörüne kaydedilir, ister Windows, Mac veya iOS kullanıyor olun. Mobil cihazlarda ise hikayeler telefonun depolama alanına kaydedilir ve indirildikten hemen sonra Galeri uygulamanızda görünmelidir.